Tamasha la Serengeti Fiesta 2014likiendelea kukamilisha ratiba yake kwa mwaka huu. Uaiku wa kuamkia leo ilikuwa ni zamu ya wakazi wa Kigoma kuusambaza upendo katika uwanja wa Lake Tanganyika. Wakishuhudia show kali kutoka kwa wakali wa mziki wa Bongo Fleva wakiongozwa na Linah,
Madee, T.I.D, Stamina, Rachel, Ali Kiba, Linex, Baba Levo, Mr. Blue,
Chege na Makomando.
Umati wa wana Kigoma wakisambaza upendo
Rais wa Manzese Madee kwenye stage ya Fiesta Kigoma
Mwana dada Rachel toka THT akifanya kweli
Mkongwe TID
Mr. Blue jukwaania
The king of Bongo Freva Ally Kiba akiwapa ladha wana Kigoma
Stamina Kabwela
Linex baba Halima
0 MAONI YAKO:
Post a Comment