Leaders Club ndiye sehemu pekee iliyoteuliwa kuwapokea wakali mbalimbali akiwemo Waje kutoka Nigeria,Victoria Kimani kutoka Kenya,T.i na wasanii wengine ambao watakua kama surprise kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 Dsm.
Jukwaa tayari limekamilika kwa asilimia zaidi ya 80 na wasanii mbalimbali leo wataanza kulifanyia mazoezi kabla ya shughuli yenyewe ambayo ni kesho Oct 18,kiingilio ni 15,000 ukinunua kabla na 25,000 pale Getini.
Baadhi ya picha za hili jukwaa la Serengeti Fiesta Dar es salaam.
PICHA NA millardayo.com
0 MAONI YAKO:
Post a Comment