Staa wa kibao cha Chuna Buzi, Zuwena Mohammed ‘Shilole’
amevishwa pete ya uchumba na mumewe mtarajiwa ‘Nuhu Mziwanda’ wakati
alipokuwa akisherekea siku yake ya kuzaliwa hapo jana(Dec.20) iliyofanyika Mikocheni jijini Dar es salaam.
Hafla hiyo ndogo ilihudhuriwa na mastaa kidhaa akiwemo aliyekuwa Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere, Shetta, Martin kadinda, Millard Ayo pamoja na jamaa wa karibu wa wapendanao hao ambao walikuwa mashuhuda wa tukio zima la kuvishana pete.
Hafla hiyo ndogo ilihudhuriwa na mastaa kidhaa akiwemo aliyekuwa Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere, Shetta, Martin kadinda, Millard Ayo pamoja na jamaa wa karibu wa wapendanao hao ambao walikuwa mashuhuda wa tukio zima la kuvishana pete.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment