Kampuni
ya usambazaji wa filamu nchini "Steps Entertainment" wameshusha bei ya
filamu hadi kufikia shilingi 1,500 kwa nakala moja ili kujaribu
kupambana na waharamia wa kazi za wasanii,baadhi ya wasanii
wameilalamika kampuni hiyo kwani kwa kufanya hivyo ni kuwanyonya wasanii
na kazi zao.
December 22, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment