Baada ya kutoa ngoma yake pamoja na video iliyo julikana kwa jina la Vanessa ambayo mpaka sasa bado inafanya hapa tanzania msanii Bexy wamusic ametoa wimbo kama bonus kwa mashabiki wake ambao ni rmx ya wimbo wa msanii mkongwe toka nchini uganda dk jose chamelione pia nikawaida kwa bexy wa music kutoa rmx za aina hiyo alishawahi kutoa rmzx ya wimbo wa msanii nguli toka tanzani Diamiond platnum alioimba na Qeen darling unaoitwa ukisinzia Bexy wamusic anaomba sana sapot toka kwa wadau wa music tanzania
Gardner Habash wa Clouds Fm afariki dunia
-
ALIYEKUWA mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa na kituo cha Redio
cha Clouds Fm, Gardner G Habash, maarufu kama Captain, amefariki dunia leo
tare...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment