Baada
ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DktJohn Pombe Magufuli,
Mkewe Mama Janeth Magufuli na familia yake kuahidi kuchangia Milioni 10
kwaajili ya matibabu ya #Kipepeo Bernadeta Msigwa mwakilishi kutoka
ofisi ya Rais Bw. Ngusa Samike amefika katika ofisi za #CloudsMediaGroup
na kukabidhi fedha hizo. Vilevile Mheshimiwa Rais ametoa ujumbe kwa
#Kipepeo Bernadeta kuwa amtumainie Mungu kwani
ndiye muweza wa kila kitu. Katika upande mwingine Naibu wa Waziri wa
Wizara ya Kazi, Vijana na Ajira Mh. Anthony Mavunde amechangia Shilingi
Milioni 1.
Kama umeguswa na unahitaji kuchangia au unataka maelezo zaidi kuhusu jinsi ya kumsaidia piga namba 0742848729. Pia unaweza kuangalia story yake kamili kwenye account hii @BernadetaMsigwa.
Asante sana Mh. Rais Dkt. John Magufuli
#Kipepeo
#MimiNiKipepeo
Kama umeguswa na unahitaji kuchangia au unataka maelezo zaidi kuhusu jinsi ya kumsaidia piga namba 0742848729. Pia unaweza kuangalia story yake kamili kwenye account hii @BernadetaMsigwa.
Asante sana Mh. Rais Dkt. John Magufuli
#Kipepeo
#MimiNiKipepeo
0 MAONI YAKO:
Post a Comment