“Unajua TV ni kitu kikubwa sana sio kitu easy kama tunavyofikiria, ndio maana sometimes watu wanaanzisha vitu halafu wanashindwa ku-maintain. So sisi tumeamua kuipumzisha Mkasi wakati bado inafanya vizuri. Halafu kuna hizi issue za kuiganaigana sana, it bothers me pamoja na washkaji zangu.”
Salama alisisitiza kuwa yeye na timu yake wameamua kuacha waone wengine wanafanya nini kwanza kabla ya kuamua kama itarudi ama kitapigwa chini kabisa.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment