Aliyekuwa mchezaji mashuhuri wa timu
ya Brazil Carlos Alberto ,ambaye alikuwa nahodha wa kikosi
kilichoshinda kombe la dunia mwaka 1970 amefariki akiwa na umri wa mika
72.
Alifunga mojawapo ya mabao mazuri zaidi duniani katika
historia ya kombe la dunia katika mechi ya fainali dhidi ya Italy mwaka
1970,baada ya kuwachenga mabeki na kufunga kupitia mkwaju mkali.Beki wa kulia Alberto alichezeshwa mara 53 na Brazil na kushinda mataji ya nyumbani dhidi ya Fluminense na Santos ambapo alishiriki mara 400.
Alifariki mjini Rio de Janeiro kufuatia mshtuko wa moyo.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment