CHAMA kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kimeishinikiza serikali kuruhusu
vyombo vya uchunguzi vya kimataifa kuchunguza juu ya tukio la kupigwa
risasi mbunge wa Singida mashariki na Mwanasheria wa chama hicho Tundu
Lissu. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema hayo mapema leo hii
kuwa, hawana imani na vyombo vya ulinzi na usalama vya nchini . Mbowe
pia amedai wameshangazwa na kuondolewa kwa kamera za cctv nyumba ya
waziri iliopo jirani na shambulio la kupigwa risasi kwa mbunge huyo
ambaye afya yake inaimarika.
MAMA, MTOTO WAKATWA MAPANGA NA MUME ALIYELEWA
-
Mwanamke anayefahamika kwa jina Rhobi Mwita Nkori mkazi wa Serengeti mkoani
Mara amenusurika kuuawa kwa kukatwa mapanga na mume wake ambaye alidaiwa
kurud...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment