
“Kufanya video na video king wa nje haina maana kwamba hapa nyumbani hamna wakaka hapana, ila nilitaka nifanye kitu na mtu ambaye ataleta maana ya nyimbo. Nyimbo inamsifia mtu, nyimbo inaonesha mtu uliyekuwa naye anajivunia kufanya na wewe so hicho ndio kikubwa nilichokuwa nakitaka,” amesema.
“Mwisho wa siku nikakutana na mdogo wake Drake tukafanya kazi na akaitendea haki.”
0 MAONI YAKO:
Post a Comment