
Mbunge
wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akizindua Tawi la CCM la
Wajasiriamali Bodaboda na Mama lishe lililopo Mgulu wa Ndege Kata Ya
Mkundi Manispaa ya Morogoro.Mara Baada ya Kuzindua Tawi Hilo Mh Abood
Aliongea na Wanachama wa Tawi Hilo Kisha Kuwaelekeza Kujiunga Kwenye
Vikundi vya Wajasiriamali Yeye Atakuwa Tayari kuwawezesha Mitaji ya
Kufanya Shuguli za Kujiletea Maendeleo.

Mbunge
wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akiwa Meza Kuu Sambamba na
Katibu wa CCM Kata Ya Mkundi tayari Kusikiliza Kero zinazowakabili
wakati wa Kata Hiyo Ambapo walimwambia Wanakabiliwa na Kero Kubwa ya
Umeme,Maji na Barabara.Aidha Mh Abood Akitoa Majibu Kuhusu Kero Hizo
Alesema Kuhusu Umeme Serikali Imeiweka Kata Hiyo Kwenye Bajeti ya
Serikali ya Mwaka huu .Kuhusu
Maji Mh Abood alitoa Shilingi Milioni 11 Kwajili ya Kununua Vifaa vya
Kuwezesha Kufikisha Maji katika eneo la Mgulu wa Ndege Kata ya
Mkundi.Pia Alitoa Shilingi Milion 2 kwajili ya Mafuta Ili Greda la
Manispaa ya Morogoro Kuweza Kuchonga Barabarfa Zote za Kata Hiyo.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment