Jimmy Flavour ni mmoja ya wasanii toka mkoani Morogoro. amefanya nyimbo kadhaa na zikafanya powa sana ndani ya Morogoro. nyimbo kama Zohari,usingoje nikifa, na kushirikishwa nyimbo kadhaa na msanii Agatha Mbale. Lakini kwa sasa ukizungumzia Hit song ndani ya Mkoa wa Morogoro, hutosita kuutaja wimbo unaitwa Watabamba. Huu wimbo umebamba kweli kwa Morogoro hasa kwenye Vigodoro, na Radio mbalimbali. Respect Kwako Jimmy , ngoma kali inabamba.
September 01, 2019
12:12 AM
Machaku
No comments
Jimmy Flavour ni mmoja ya wasanii toka mkoani Morogoro. amefanya nyimbo kadhaa na zikafanya powa sana ndani ya Morogoro. nyimbo kama Zohari,usingoje nikifa, na kushirikishwa nyimbo kadhaa na msanii Agatha Mbale. Lakini kwa sasa ukizungumzia Hit song ndani ya Mkoa wa Morogoro, hutosita kuutaja wimbo unaitwa Watabamba. Huu wimbo umebamba kweli kwa Morogoro hasa kwenye Vigodoro, na Radio mbalimbali. Respect Kwako Jimmy , ngoma kali inabamba.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment