July 19, 2012

AMALIZA  VIDEO  YAKE  NA  SASA   IPO  MTANDAONI 
AMALIZA  TOFAUTI  ZAKE  NA  ALIYEKUWA  MENEJA  WAKE  SALIM CHUMA        SAS  NI  DAM DAM
                 


Wimbo  umefanika  katika  studio  za  one music   mjini  Morogoro   na  Video  ya  wimbo  huwo  ambayo  ipo  tayari  na  punde  itaanza  kuonekana  imefanyika  katika  studio  za  E MEDIA chini  ya  mtayarishaji  ABBAS
Hapa akiwa kwenye location na vijana wa E-Media.


Kwa   upande  mwingine  Criss  amesema  kwamba  amemaliza  tofauti  zake  na  aliyekuwa  meneja  wake  Salim  Chuma  na  sasa  ni  marafiki,  Kwa  upande  wake  Salim amekili  huilo   na  ku ahidi  kutoa  ushirikiano  mzuri  na  Kijana  wake  huyo  wa zamani





                                  

                     

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE