September 21, 2012


Msanii wa bongofleva kutoka THT,Barnaba akiwaimbisha mashabiki wake usiku huu kwenye tamasha la serengeti fiesta 2012 ndani ya uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.  


 Mmoja wa wasanii chipukizi ndani ya Mbeya akikamua vilivyo usiku huu mbele ya washabiki
 wake waliojitokeza kwa wingi ndani ya uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.


 Ni Shangwe tu ndani ya uwanja wa Sokoine.

 Wakazi wa Mbeya wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye Fiesta usiku huu.


 Wakazi wa Mbeya na vitongoji vyake wakishangweka vilivyo ndani ya uwanja wa sokoine usiku huu

Mmoja wa Ma-Mc na pia ni mtangazaji wa Clouds FM,Adam Mchomvu akitaka kulianzisha usiku huu kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2012 ndani ya uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.




                    Mkali  wa  mziki  wa HIP HOP Tanzania  Stamina  akikinukisha    vibaya ndani  ya  Jukwaa  la  FIESTA  2012 Mbeya   usiku  huu
 

 
 Moro  alikuwa  DJ zero,  Hapa  ni DJ PQ. bhaaassss

 
 
  Yes  RASTA Hapa ni  msanii toka jijini Mbeya akiimba katika onesho hilo Usiku  huu 

 
Pichani kati ni Mkuu wa wilaya ya Mbeya  Mh. Dkt. Norman Sigallah akiwa katika picha ya pamoja na Meneje vipindi wa Clouds FM,Sebastian Maganga  kushoto na mdau wa  fiesta mbeya  kulia
 
 

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE