November 08, 2012

Machaku blog

Msanii wa bongo fleva almaarufu kwa jina la Ommy Dimpoz anayetamba na ngoma kali hapa Tzee kama Nai Nai,Baadaye na ngoma zingine alizo shirikishwa na wasanii mbalimbali na ndipo alipoweza kufahamika kwa mashabiki kwa kupitia ngoma hizi mbili sasa.
Latest info
kutoka kwa msanii huyu ni kwamba siku za hivi karibuni baada ya kukutana Mr Dickson Mkama ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Dmk Global Promotion &Northen zone ambayo inahusisha matawi ya U.S.A,UK & Tzee ni kwamba imethibitika msanii huyu ataanza tour yake ya kupiga show nchini Marekani na Canada baada ya kusaini mkataba huo na Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni anayefahamika kwa jina la Mr Dickson Mkama.

Hii ni picha ambayo inayoonyesha Msanii Ommy Dimpoz  baada ya kumaliza kusaini mkataba wa kuanza Tour yake rasmi.


0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE