December 20, 2012






  
 
Belle 9 ameanza  kufanya  video  yake  mpya  ya  LISTEN  chini  ya Director Nisher na hizi ni baadhi ya making video yake mpya  ambayo anatarajia kuichia mapema mwaka  ujao.
 
Audi  ya  wimbo  huwo  imefanywa  na  Mtayarishaji ni Tiddy Hoter wa 1 Love FX Studios.

 
 
Aya  ni baadhi  ya matukio  ya  video  hiyo  ambayo  ameahidi  itakuwa  ya  kiwango  cha  hali  ya juu  sana na  anaamini  italeta  mapinduzi  zaidi  ya  kiburudani  na  kuwataka  wadau  wawe tayari  kwa  ujio  huwo                                     

Related Posts:

  • Ashtakiwa kwa kusambaza picha whatsapp         Miili ya kwanza ya wanajeshi waliouawa Somalia iliwasili Nairobi Jumatatu Mwanamume mmoja nchini Kenya ameshtakiwa kusambaza picha alizodai ni za wanajeshi wa Kenya waliouawa … Read More
  • Brand New Audio | Nipe Tamu - Every Day    Mwanamuziki chipukizi kabisa kutoka mkoani Morogoro anayefahamika kwa jina la Every Day, amekuletea bonge ya wimbo wake unaoitwa Nipe Tamu. Wimbo umefanywa na Producer Sniper katika studio za Tushi Recordz za… Read More
  • Venus Williams apigwa chini katika tenisiKonta ameorodheshwa nambari 47 duniani Mchezaji nyota wa tenisi kutoka Uingereza Johanna Konta amemshinda Venus Williams 6-4 6-2 na kufika raundi ya pili ya shindano la tenisi la Australian Open mjini Melbourne. Konta, 24, al… Read More
  • Nahreel kamkatalia Mkenya Producer maarufu wa Tanzania kwenye muziki wa bongoflevaNahreel ameingia kwenye top stories za leo kwenye Dstv.com baada ya kukataa kumpa beat yake staa mmoja wa hip hop nchini Kenya. Nahreel ambaye mikono yak… Read More
  • Pitio la Magazeti ya leo jumanne january 19, 2016 Karibu mwana familia wa ubalozini.blogspot.com, Leo hii January 19,2016 siku ya jumanne tunakupa tena fursa ya kupitia magazeti yetu ya leo kama yalivyotufikia na kubeba habari zenye uzito wa juu. … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE