January 26, 2013

                                                       Producer Triss

Ni  producer  toka  katika  studio  za  Dirty Mode Record  za hapa  mjini  Morogoro ,  pia  ndiye  Producer  aliyemtoa  msanii  Belle 9 na  nyimbo  zake  kama  Sumu  ya  penzi, Masogange, amerudi  na  nyinginzo.  Ndiye  producer wa  kwanza  wa  Sameer  na  wimbo  wake  wa Mapenzi  yaweza  uwa. ndiye  aliyefanya  wimbo  wa  kwanza  wa Stamina B52.  Amefunga  mwaka kwa  kufanya  wimbo  uliotamba  wa  Izzo  bissnes  utarudishwa  Mbeya.  Amekuja  yeye  mwenyewe  na  wimbo wake  wa  Ooeeehh!!!   skiliza  na  Dowload  hapo  chini

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE