
KALA JEREMIAH
Kuhusiana na Video iliyosambaa siku mbili zilizopita, inayowaonesha wasanii wa Bongo kulal;a kitanda kimoja kati ya Kala Jeremiah na Dayna Nyange, hatimaye Kala ameamua kuvunja ukimya,
Kala amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook akikanusha tuhuma hizo na kudai ni Filamu ya Kitale

DAYNA NYANGE

Kala jeremiah shared a link.
sIKU
CHACHE ZILIZOPITA TUKIWA MKOANI SINGIDA MIMI NA DAYNA NYANGE PAMOJA NA
KITALE RAIS WA MATEJA TUKIWA HOTELINI TUKIANGALIA TANGAZO LA MOVIE MPYA
YA KITALE NA HAYATI SHARO MILIONEA AMBAYO ITATOKA HIVI KARIBUNI BAADA YA
KUANGALIA TANGAZO HILO NDIPO UKAIBUKA MJADALA KUTOKA KWA KITALE AKIDAI
ALIKUWA AMEPANGA KUFANYA MOVIE NYINGINE NA MAREHEMU SHARO. NDIPO
AKAULIZA KAMA SISI TUNAWEZA KUFANYA MOVIE?.
TUKASEMA MBONA MZUKAA TU. KI UKWELI KITALE SIYO MTU WA KWANZA KUNIOMBA KUCHEZA...See More
TUKASEMA MBONA MZUKAA TU. KI UKWELI KITALE SIYO MTU WA KWANZA KUNIOMBA KUCHEZA...See More
- Marwa Zephania, Young Doncher Silas and 36 others like this.
- Masmo Wa Kijiwemgod 0 444 NAmaani m2 anayeitw KaLa sio m2 mwinngnie.....
Midhan atahyo SCENE inawafaa nyny nawala co wa2 wengine.... - Shabani Rajabu oya bro kala vp bana mbona nipo singida cku kama 3 hivi eneo moja la singida linaitwa iguguno kuna tangazo linalo oneshs kwamba leo ndo unatakiwa uwehapa na unafanya show na kitale pia dayna ukumbi wa 40 bigger au halaf mashabiki wamejaaa ilembaya usipo kuja kka msala kwa mshabiki wako waukweli
- Paul Marius !Hivyo ni vkwazo ktk mafankio yako we kaza tu achana na habar za watu kujaj vtu wacvyo vjua big up bro
0 MAONI YAKO:
Post a Comment