Msanii toka Manzese kipenzi cha wengi Ney wa mitego jumaamosi hii anatari kuachia video yake ya kwanza ya wimbo wake mpya uitwa mziki gani aliomshirikisha Diamond Platnum.
Wimbo huu una video mbili lakini video ya kwanza itazinduliwa pale Dar Live Mbagala jumamosi hii. Gh
Sababu ya kuwa na Video mbili Ney amesem Video zote ni kali na wadau wamezikubali na kupendekeza zote ziende hewani. Video imegjarimu zaidi ya milioni saba za Kitanzania
Bg up kwako Ney wa mitego
Hizo ni baadhi ya vipande vilivyomo katika video hiyo.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment