June 24, 2013


  

  Msanii wa muziki wa bongo freva anayetamba na wimbo wake wa paka wa Bar  Shilole, mwezi july anataraji kufanya bonge la show nchini Marekani.
 
   Akizungumza na ubalozini.blogspot.com Shilole amesema, ijumaa hii anataraji kuanza safari kuelekea nchi Marekani ambapo katika show hiyo ya miaka mitatu ya vijimambo ataambatana na Masanja mkandamizaji
Hotel anayotaraji kufikia Shilole

  Katika maadhimisho hayo ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais mstaafu wa awamu ya pili ya Tanzaniani Mzee  Ally  Hassan  Mwinyi
Siku ya July 6, 2013  hapa DMV kwenye Hall la Hampton Conference Center lililopo 
207 w Hampton Pl, 
Capitol Height, MD

   Mambo mengi yatakayokuwepo ni Vikundi mbalimbali vya utamaduni, wanamitindo wa mavazi mbalimbali kuwakilisha, vyakula vya Kitanzania, Wasanii kutoka nyumbani ambao ni Shilole na Masanja Mkandamizaji wakishirikiana na wa hapa Marekani yote hayo ni kudumisha utamaduni wetu wa kiswahili
 
Ratiba kamili ni:
   
Hotel za jirani na hapa ni
Hampton Inn
9421 Largo Dr West,
Largo, MD 20774
simu ni 301 499 4600

Extended Stay American
9401 Largo Drive West,
Largo, MD 20774
simu ni 301 3339139
Confort Inn
56 Hampton Park Blvd
Capitol Heghts, MD20743
Simu ni 301 336 8900

Muda wa watoto ni kati ya 10:00 am - 5:00 pm:
Kuanzia 7:00 pm- 3:00 am ni kwa watu wazima tu.
MAVAZI 
10:00 am - 5:00 pm Vazi la Kitanzania
7:00 pm - 3:00 am Vazi lolote lakini uwe umependeza

BURUDANI ZOTE NI KATI YA 10:00 AM - 5:00 PM
USIKU NI CHAKULA NA MUZIKI WA DISKO TU.

Tafadhali zingatia muda. Rais Mustahafu Ali Hassan Mwinyi ataingia ukumbini 10:30 am

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE