Dayna Nyange ni moja ya wasanii wa kike hapa Tanzania wanaofanya vizuri na kukubalika sana katika jamii ya wapenda Burudani Afrka mashariki. Sasa kama hujawahi kumuona akiwa jukwaani akifanya show, tumia muda huu kutazama moja ya show zake akiwa na kundi lake la wakali Classic. Hapa ni Jamhuri Dodoma
July 16, 2013
8:03 AM
Machaku
No comments
Dayna Nyange ni moja ya wasanii wa kike hapa Tanzania wanaofanya vizuri na kukubalika sana katika jamii ya wapenda Burudani Afrka mashariki. Sasa kama hujawahi kumuona akiwa jukwaani akifanya show, tumia muda huu kutazama moja ya show zake akiwa na kundi lake la wakali Classic. Hapa ni Jamhuri Dodoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 MAONI YAKO:
Post a Comment