Swahili TV ilifanya mahojiano exclusive na Ammy Nando katika Jiji la Los Angeles, USA. Ammy ambaye kwa sasa anajulikana kama Army Nando, Mtanzania mwenye makazi yake katika jimbo la California, aliyeshiriki Big Brother Africa season 8 "The Chase" na hatimaye kutolewa . Katika video hii Nando amefunguka kuhusu kilichomfanya atolewe mjengoni, maisha ya mle ndani na pia ameweka bayana mipango yake ya baadaye, nini kinachofuata baada ya BBA.
ENGINEER JAMES JUMBE HONORS HIS PROMISE AFTER STAND UNITED FC DEFEATS
MTIBWA SUGAR 1-0
-
Stand United FC celebrated a well-earned victory today, defeating Mtibwa
Sugar FC 1-0 in a thrilling match at CCM Kambarage Stadium in Shinyanga.
Followin...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment