Wasanii walicheza kwenye filamu hiyo ni pamoja na Seth Bosco ambaye ni mdogo wa marehemu Kanumba, Lilian Mamuya,Rammy Galis, Samofi, na Keita.
Zakayo Magulu akisoma scrip
Pia katika movie hii kuna watoto ambao wameonesha umahiri mkubwa
katika sanaa ya uigizaji hivyo inaashiria kua filamu hii ikitoka itakua
gumzo la jiji.





0 MAONI YAKO:
Post a Comment