Kutokana na uchunguzi
wetu imefahamika kuwa, Filamu hii haijasimamishwa ila imetakiwa
kufanyiwa marekebisho baadhi ya sehemu ili kuiweka katika mahadhi na
maadili yanayokubalika na jamii.
Taarifa zinaweka wazi
kuwa, kikwazo kilichoikumba filamu hiyo ni nguo fupi zilizotumika katika
waigizaji walioshiriki katika filamu hiyo ambayo inasubiriwa kwa hamu
kubwa na mitaa na mpaka sasa juhudi za kuifanyia marekebisho zimeshaanza
ili ratiba za uzinduzi wake ziende kama ilivyopangwa.
Lulu kasema " Filamu Haijafutwa Wala kusimamishwa, ila kuna baadhi ya vipande vinahitaji Marekebisho, Uzinduzi Upo kama kawaida"
Lulu kasema " Filamu Haijafutwa Wala kusimamishwa, ila kuna baadhi ya vipande vinahitaji Marekebisho, Uzinduzi Upo kama kawaida"
Chanzo : babamzazi.combabamzazi.com
0 MAONI YAKO:
Post a Comment