August 27, 2013

 
Mambo vp ndugu zetu? Tunapenda kuwashkuru kwa muda wote wa kuwa nasi pamoja katika kufanikisha habari zetu zinawafikia wote kwa namna moja ama nyingine. Taarifa ni kwamba kuanzia 01 /sep/ 2013 blog hii itafahamikwa kwa www.ubalozini.com kutoka link ya sasa ya www.ubalozini.blogspot.com.  Tunaomba tuzidi kuwa pamoja na kwa chochote msisite kuwasiliana nasi kwa 0717  51  96  52.
   Tuwatakie siku n jema na kazi njema kwenu.

Related Posts:

  • Nyota wetu leo hii ni Millard Ayo Millard Afrael Ayo alizaliwa Arusha January 26 akiwa ni mtoto wa kwanza kwenye famili ya watoto wanne ya Afrael Ayo ambae ni mmeru wa Akheri Tengeru, ni mfanyabiashara na mama Mary Ayo ni mwalimu. Baada ya mama yake mza… Read More
  • Dayna amsifu Diamond ndani ya XXL, pia utamskia Tale, Linex na Young Dee Dayna Nyange.  Jana tumeisikia ngoma mpya ya Dayna Nyange aliyomshirikisha Nay Wa Mitego ‘Nitunze’ leo kupitia story za kiburudani zaidi za 255 amezungumzia ishu ya wasanii wa kike kuwas… Read More
  • Ukatili: Mume amlipua mkewe kwa petroli Mwanamke mmoja, Kudra Janja  mkazi wa  Kijiji cha Bwai, wilayani Butiama mkoani Mara amelipuliwa kwa petroli na mumewe, Simon Otieno  kwa kile kilichodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi.Katika tukio hilo pia mtoto a… Read More
  • Makaburi ya halaiki yafukuliwaMakaburi ya halaiki yafukuliwa Tikrit Wataalamu wa kuchunguza maiti, wameanza kuyafukua zaidi ya makaburi 12 ya halaiki, katika mji wa Tikrit, nchini Iraq. Hatua hiyo imekuja siku kadhaa baada ya wapiganaji wa Islamic State, … Read More
  • Dayna Nyange ft Nay wa mitego - Nitulize Baada ya kimya cha muda mrefu, hatimaye msanii wa kizazi kipya toka mkoani Morogoro, mwana mama Dayna Nyange, leo hii ameachia rasmi wimbo wake mpya aliofanya na Nay wa Mitego wa Nitulize   Wimbo umefanyika chini… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE