August 27, 2013

 
Mambo vp ndugu zetu? Tunapenda kuwashkuru kwa muda wote wa kuwa nasi pamoja katika kufanikisha habari zetu zinawafikia wote kwa namna moja ama nyingine. Taarifa ni kwamba kuanzia 01 /sep/ 2013 blog hii itafahamikwa kwa www.ubalozini.com kutoka link ya sasa ya www.ubalozini.blogspot.com.  Tunaomba tuzidi kuwa pamoja na kwa chochote msisite kuwasiliana nasi kwa 0717  51  96  52.
   Tuwatakie siku n jema na kazi njema kwenu.

Related Posts:

  • Rais Kikwete afanya uteuzi mpya    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Tume ya Utumishi wa Umma na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) atika uteuzi huo, Rais amemteua Mhe… Read More
  • Tp Mazembe yasajili watatu    Kikosi cha TP Mazembe cha Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo  Timu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo imewasajili wachezaji watatu wapya toka kwenye timu ya taifa ya Ivory Coast. Nyota … Read More
  • Waliomuiba Albino Pendo Wakamatwa Mwanza   Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo, amesema watu wote waliohusika ‘kuiba’ mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino) Pendo Emmanuel (4) katika kijiji cha Ndami wilayani Kwimba, Mwanza, wamekamatwa. … Read More
  • New Audio: Ally Kiba - Chekecha cheketua Baada ya kufanya poa ndani na nje ya Tanzania na wimbo wake wa mwana, Mwanamuziki Ally Kiba sasa amekuja na ngoma yake mpya kabisa inayoitwa Chekecha cheketua. … Read More
  • Di Maria ajuta kujiunga na Man United    Mchezaji nyota ambaye pia ni kiungo wa kati wa Manchester United Angel Di Maria amesema kuwa alifanya makosa kujiunga na Kilabu ya Manchester United msimu uliopita. Raia huyo wa Argentina amejaribu kuingian… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE