
Dayna.
Kufuatia taarifa za msanii Diamond kushutumiwa kwamba ameiba bit ya wimbo wa Dayna unaodaiwa awali ilikuwa wafanye wote, inazidi kumtafuna Diamond kufuatia wadau mbalimbali kutoa yao ya moyoni. Mwanamgeni Ally amepost hii
7 hours ago via mobile
- Rukia Bakari Naksh uyo Dimondii nae kazidiii bhanaa aah atakama kampa mzee gurumo ndiga sa ndo nini kila siku yeyetu kes za kuwakwibia wenzake bhana Dyna sio wakwanza kulalamika
Hii hapa ya Keny Wapoteen
Keny Wapoteen
Yesterday via mobile
Njaa,uaminifu na dhalau
Hili ni tatizo kubwa kwa baadhi ya maproducer wa music hapa Tanzania
kitendo alichokifanya producer aliyetengeneza wimbo wa Dayna mpya na wa Diamond-number one,kwa kutumia biti moja katika nyimbo zote mbili sio poa kabisa
Uko ni kukosa ubunifu hata kama mmoja wa hao wasanii alimpa hela nzuri eti kisa kavutiwa na biti aliyoikuta studio ambayo tayari ilishafanyiwa kazi na msanii mwingine
Hii ni aina ya maproducer ambao wapo kwa ajiri ya kutaka kuwafanya wafatiliaji au wapenda music wajue kuwa kazi ya uproducer ni kazi rahisi sana..!!
#Ni_Salamu_Tu_Akivimba_Apasuke
Hili ni tatizo kubwa kwa baadhi ya maproducer wa music hapa Tanzania
kitendo alichokifanya producer aliyetengeneza wimbo wa Dayna mpya na wa Diamond-number one,kwa kutumia biti moja katika nyimbo zote mbili sio poa kabisa
Uko ni kukosa ubunifu hata kama mmoja wa hao wasanii alimpa hela nzuri eti kisa kavutiwa na biti aliyoikuta studio ambayo tayari ilishafanyiwa kazi na msanii mwingine
Hii ni aina ya maproducer ambao wapo kwa ajiri ya kutaka kuwafanya wafatiliaji au wapenda music wajue kuwa kazi ya uproducer ni kazi rahisi sana..!!
#Ni_Salamu_Tu_Akivimba_Apasuke
- You, De Schenko Kankara Jr., TherealYunus Tz, Sule TolaBoy and 8 others like this.
- Mkurya Mstarabu @nicho nashukuru sna askari jeshi langu kama umenielewa bob icho ndo nilikua nataka.. Naomba uni-ADD MWANANGU AFU KAMA TWENDE SAWA HIVI TUONE IZI HARAKATI
- Mkurya Mstarabu @mary we mwanamke vita ya kikurya we Mjita ustie maguu ntakubomoa sura... Sogea mbali mama mtoto sawa eeh?
0 MAONI YAKO:
Post a Comment