September 06, 2013


Msanii wa muziki wa kizazi kipya,ambaye kwa sasa anafanya vyema kwenye anga za muziki huo,Neylee akiimba kwa hisi jukwaani huu wakati tamasha la Serengeti Fiesta likiendelea kwa shangwe ndani ya uwanja wa Sokonine.

 Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 likiendelea kwenye uwanja wa Sokoine,Mkoani Mbeya
  Shilole akiwa na madensa wake wakitumbuiza jukwaani tamasha la Serengeti fiesta 2013,uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.
 
Afande  Sele  Mfalme wa  rhaymes akiimba kwa hisia
 Sehemu ya umati wa watu.
Ney wa Mitego akikamua jukwaani Serengeti Fiesta 2013,kwenye uwanja wa Sokoine,mjini Mbeya.
 Wakazi wa jiji la Mbeya wakitoa heshima kwa baadhi ya wasanii waliotangulia mbele za haki, kwa kuwasha tochi za simu zao usiku huu.
 Rich Mavoko na skwadi lake wakilishambulia jukwaa. 


Wasanii mahiri katika miondoko ya hip hop,Stamina na Young Killer wakilishambulia jukwaa la Serengeti fiesta 2013,ndani ya uwanja wa Sokoine
 Ni shangwe tu kwa wakazi wa jiji la Mbeya
Mmoja wa sanii mahati wa kizazi kipya,Ommy Dimpo akiwaimbia mashabiki wake singo yake mpya iitwayo Tupogo
  DJ Zero akifanya yake.
Msanii toka BSS,Walter Chilambo ndiye aliyefungua pazia la onesho
Baadhi ya watu wakifuatilia yanayojiri usiku huu kwenye tamasha la Seremgeto Fiesta 2013 ndani ya uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.
Cassim  Mganga akikamua sawasawa

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE