Jamaa anae fahamika kwa jina la
Masaka limbu mkazi wa Dar amempiga mtoto wake wa kambo mpaka kupoteza
maisha, tukio hilo lilitokea jmamosi mida ya saa mbili , Baba huyo
alikuwa akikagua madaftari ya shule ya mtoto huyo na kukuta
hayajasahihishwa na mwalimu na kuamua kujichukulia hatua na kuanza
kumpiga mpaka kifo chake kilivofika....mtoto huyo alikuwa na umri wa
miaka tisa..Mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi
VIJANA WA UVCCM MKOA WA SHINYANGA WATAKIWA KUIMARISHA UMOJA NA USHIRIKIANO
ILI KUJENGA CHAMA IMARA
-
*Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Shinyanga, Benard Werema akiwa katika picha ya
pamoja na vijana wenzake*
*Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mabala Mlolwa...
10 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment