Wengi wanaopenda kusikia kutoka kwa shabiki huyu maarufu, walitaka kusikia atasema nini baada ya mechi ya Yanga na Simba October 20 2013 ambapo Yanga anayoishabikia Steven ilikua inaongoza kwa magoli matatu bila mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika lakini zikarudishwa na Simba zote kipindi cha pili, haya hapa chini ni maoni yake pia vilevile amemtaja mwigizaji wa movie anaempenda Tanzania na ana ujumbe wake
ELIMU YA MABADILIKO YA KODI YAWAFIKIA WAFANYABIASHARA SHINYANGA KUPITIA TRA
-
Meneja Msaidizi Huduma kwa Mlipa Kodi Mkoa wa Shinyanga Ramadhan Sengo
Na Stella Herman,Shinyanga
Wafanyabiashara Mkoa wa Shinyanga wametakiwa kuongeza ...
6 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment