Wengi wanaopenda kusikia kutoka kwa shabiki huyu maarufu, walitaka kusikia atasema nini baada ya mechi ya Yanga na Simba October 20 2013 ambapo Yanga anayoishabikia Steven ilikua inaongoza kwa magoli matatu bila mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika lakini zikarudishwa na Simba zote kipindi cha pili, haya hapa chini ni maoni yake pia vilevile amemtaja mwigizaji wa movie anaempenda Tanzania na ana ujumbe wake
WAZIRI SANGU AKUTANA NA MZEE WA UPAKO NA MTUME MALISA
-
-Aeleza umuhimu wa Mahusiano mema katika kuimarisha mshikamano wa Taifa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus
Sangu,...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment