Babu Seya na Papii Kocha walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya kupatikana na hatia ya kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi, Mashujaa, Sinza jijini Dar ambapo wamekuwa wakikata rufaa mara kwa mara lakini wakagonga mwamba. Hukumu hii ya rufaa ndiyo ya mwisho kusikilizwa.
MATUMIZI YA DHANA BORA ZA KILIMO YANAVYOWEZA KUWANUFAISHA WAKULIMA
-
Kuelekea Mei 2 & Mei 3, 2024 tarehe za Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka
wa Fedha 2024/2025 kusomwa na kujadiliwa Bungeni Dodoma, Wizara ya kilimo
imea...
8 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment