Kundi la Khanga Moja la Jijini Dar limepigwa marufuku kukanyaga Mkoani Bukoba kutokana na vitendo vya kifuska walivyovifanya huko. Kwa mujibu mwananchi mmoja aliyejitambulisha kwa jina Rubangila aliimbia Xdeejayz kuwa kundi hilo limeacha laana kubwa sana mkoani humo kiasi cha kutia kinyaa hivyo wananchi mbalimbali wamesema kuwa hata siku moja wasithubutu kutia pua zao kwenye ardhi hiyo la sivyo watachomwa moto kisa aina wanayotumia kucheza.
VIJANA WA UVCCM MKOA WA SHINYANGA WATAKIWA KUIMARISHA UMOJA NA USHIRIKIANO
ILI KUJENGA CHAMA IMARA
-
*Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Shinyanga, Benard Werema akiwa katika picha ya
pamoja na vijana wenzake*
*Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mabala Mlolwa...
9 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment