January 04, 2014

aviana Matata anatarajia kuanza kutengeneza mabegi ya kubebea vitabu na madaftari kwaajili ya wanafunzi nchini. Mabegi hayo ni sehemu ya mradi wake wa kutengeneza vifaa vya shule uliopo chini ya taasisi yake ya Flaviana Matata Foundation.
 Mwishoni mwa mwaka jana, Flaviana alizindua stationery za FMF ambazo ni pamoja na madaftari, kalamu na vitu vingine vya wanafunzi.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE