Rais wa Zanzibar Dr. Ally Mohammed Shein, ametangaza kuwa kesho itakuwa siku ya mapumziko kufidia sherehe za kumbukumbu ya siku ya mapinduzi ya Zanzibar. Dr. Shein amesema ameongea na rais Kikwete na kuafikiana kwamba kesho itakuwa siku ya mapumziko kwa Tanzania mzima yaani Bara yna Zanzibar.
SMZ KUILINDA AMANI KWA GHARAMA ZOTE
-
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesisitiza msimamo wake wa
kuendelea kuilinda amani na utulivu wa visiwa hivyo kwa gharama zote, huku
ikiwatahad...
2 days ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment