Rais wa Zanzibar Dr. Ally Mohammed Shein, ametangaza kuwa kesho itakuwa siku ya mapumziko kufidia sherehe za kumbukumbu ya siku ya mapinduzi ya Zanzibar. Dr. Shein amesema ameongea na rais Kikwete na kuafikiana kwamba kesho itakuwa siku ya mapumziko kwa Tanzania mzima yaani Bara yna Zanzibar.
TACAIDS YAAGIZWA KUONGEZA KASI KATIKA UTOAJI WA HUDUMA ZA VVU NA UKIMWI
KATIKA JAMII ZA WAVUVI
-
Mjumbe wa kamati ya Kudumu ya bunge ya Afya na maswala ya UKIMWI Mhe. Agnes
Marwa akielezea jinsi ambavyo wavuvi walivyo katika hali ya hatari ya
kupata M...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment