Msaidizi wa askofu wa KKKT dayosisi ya Arusha Gabriel Kimirei
akisalimiana na mke wa waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh
Edward Lowassa,mama Regina Lowassa wakati wa Ibada ya ubarikio wa mtoto
wa mwenyekiti wa ccm Arusha Onesmo Nangole iliyofanyika katika kanisa la
KKKT Longido.Pembeni Mh Lowassa akitabasamu.
SERIKALI YAZINDUA PROGRAMU NA MKAKATI WA KAZI ZA STAHA
-
Na: OWM (KAM) - Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus
Clement Sangu amezindua Programu ya Nchi ya Kazi za Sta...
2 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment