Msaidizi wa askofu wa KKKT dayosisi ya Arusha Gabriel Kimirei
akisalimiana na mke wa waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh
Edward Lowassa,mama Regina Lowassa wakati wa Ibada ya ubarikio wa mtoto
wa mwenyekiti wa ccm Arusha Onesmo Nangole iliyofanyika katika kanisa la
KKKT Longido.Pembeni Mh Lowassa akitabasamu.
SMZ KUILINDA AMANI KWA GHARAMA ZOTE
-
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesisitiza msimamo wake wa
kuendelea kuilinda amani na utulivu wa visiwa hivyo kwa gharama zote, huku
ikiwatahad...
2 days ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment