January 07, 2014

Msaidizi wa askofu wa KKKT dayosisi ya Arusha  Gabriel Kimirei akisalimiana na mke wa waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa,mama Regina Lowassa wakati wa Ibada ya ubarikio wa mtoto wa mwenyekiti wa ccm Arusha Onesmo Nangole iliyofanyika katika kanisa la KKKT Longido.Pembeni Mh Lowassa akitabasamu.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE