Leo majira ya asubuhi msanii wa Bongo
movie aliweka picha huku akiwa amekumbatiwa na mwanaume na kusema kuwa
"nimemisi kumbatio la huba" kutokana na kauli hiyo wadau wameweka
maswali mengi na kuuliza je huyu ndiye mume mtarajiwa wa Wastara au la.
swahiliTz tunatafuta ukweli wa swala hili kisha tutalifikisha kwenu
wadau wa Tovuti yetu.
Kilio ACT ikipigania haki ya uchaguzi
-
CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema safari ya kuitafuta haki ya uchaguzi
inaendelea. Lakini papohapo, kingependa kuona Mahkama
0 MAONI YAKO:
Post a Comment