“Ni video ya kawaida kabisa na
nimeicheza mwenyewe na wacheza shoo wangu.Nilifanya hivyo baada ya video
yangu ya ‘Majanga’ kulalamikiwa kuwa sikucheza. Imeniuma sana video ya "Nimevurugwa"
kufungiwa na BASATA kuonyeshwa kwenye TV bongo wakati kama kukatika ni
tamaduni yetu watanzania kuna video kibao za nje za ovyo kabisa wanavaa
nusu uchi ila azifungiwi"
MAKALA AWAPONGEZA WAZEE WA KIMASAI KWA KUHAMA
-
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla, amezindua rasmi msimu wa
sherehe za mila za Kimasai maarufu kama Enkipaata, akiwashukuru wazee wa
mila ...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment