February 23, 2014

Meno ya tembo bado ni ishu kubwa na stori zake bado zinazidi kumiliki headlines kutokana na ukweli kuhusu wanyama hawa wanavyoshambuliwa na majangili mbalimbali,February 20 Meneja uhusiano wa hifadhi ya Seluu ametoa idadi kamili ya Tembo waliobaki.
February 20 2014 mara baada ya kukabidhiwa zaidi ya Milioni 42.5 kutoka hotel zilizopo Seluu Mr Benson Kibonde ambaye ndiye Meneja uhusiano wa mbuga ya Seluu amesema>> ‘Hali  hii si nzuri kabisa licha ya hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali’
Ingawa mpaka sasa haijatoka idadi kamili ya mbuga zingine jumla ya tembo waliuwawa lakini kwa mbuga ya Seluu peke yake imebakisha tembo 13,000 tu kutoka 70,000 waliokuwepo mwaka 1990 kwa mujibu wa Mr Kibonde.

Miongoni mwa sababu alizozi-amplify Mr Kibonde ni kuhusu majangili hao ambao amesema ujangili ni tatizo kubwa ambalo unafanywa na watu wenye fedha nyingi na wana mtandao wa kimataifa hali inayosababisha kazi hiyo kuwa ngumu.
Bado mbuga zetu za Tanzania zina changamoto nyingi ambazo miongoni mwa alizozieleza Mr.Kibonde ni pamoja na kufanya kazi kwenye mazingira magumu,mafuta ya magari kutojitosheleza, chakula na vitendea kazi vingine kukosekana.

CHANZO : udakuspecially.com

Related Posts:

  • Mgombea mwenza wa UKAWA Juma Haji Duni atikisa jimboni kwa Nape Wafuasi wa Ukawa wakishangilia.   Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji...  Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akisalimiana na mfuasi wa Ukawa wakati alipowasili katika mkutan… Read More
  • Liberia imefanikiwa kutokomeza Ebola-WHOImage copyrightGettyImage captionMtu aliyenusurika ebola Shirika la afya duniani WHO, limetangaza kwua taifa la Liberia, limefanikiwa kutokomeza Ugonjwa wa Ebola kwa mara ya pili. Mei mwaka huu shirika hilo lilikuwa limetoa t… Read More
  • Magazetini Leo Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Septemba 4,2015 tumeingia kwenye chumba cha cha TZA kinachomiliikiwa na Millard Ayo na tayari tumeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baa… Read More
  • TBS kufanya msako mkali nchi nzima  Katibu  Mtendaji wa Taasisi ya Nishati Jadidifu (TAREA), Mhandisi Mathew Matimbwi (katikati), akiwaonesha wanahabari Dar es Salaam Umeme Nuru (Solar Power panels) ambazo hazina ubora zilizokamatwa zikiwa ka… Read More
  • Lowassa awasili Mpanda kwa Chopa Chopa iliyowabeba Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja na Mwenyekiti wake, Mh. Freeman Mbowe, ikitua kwenye … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE