February 27, 2014

 

 Vioja vya mjini jamaa kamfumania mshikaji kwa wife wake ,kwa hasira alizokuwa nazo kaamua kuchojoa nguo zoto na kupandisha kwanye gari ile ya kubebea majani akiwa kasimama nyuma huku akiwa na bango kuwa yeye ni mwizi wa mke wa mtu, 
huku nonino ikiwa inaangalia watu, yani ni fulu vioja mjini Dar es salam maeneo ya samora Mchana wa leo

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE