Leo
Kala Jeremiah kupitia ukurasa wake wa Instagram amepost picha
inayoonyesha ajali aliyoipata wakati akitokea kwenye show yake iliyokuwa
ikifanyika Club East 24 ambayo alikua akifanya show pamoja The B Band
ya Banana Zoro.
Hiki ndicho alichokipost Kala Jeremiah kupitia ukurasa wake wa Instagram.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment