Wema aachi vituko, Siku za Karibuni Wema
amekaririwa na Gazeti moja la Udaku hapa Tanzania aka Bongo akisema
kuwa Akifa yeye Basi Aagwe uwanja wa Taifa kwa vile jina lake ni kubwa
Ndani na Nje ya Tanzania hivyo pale Leaders walipozoelea kuaga Watu
maarufu hapata Tosha ,Alisema uwanja wa taifa utampaka kila mtu chance
ya kumuaga....Mweeeeee Makubwa
Kilio ACT ikipigania haki ya uchaguzi
-
CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema safari ya kuitafuta haki ya uchaguzi
inaendelea. Lakini papohapo, kingependa kuona Mahkama
0 MAONI YAKO:
Post a Comment