Afande Sele The'King
Kuhusiana na mambo yanavyokwenda ndivyo sivyo juu ya mchakato wa kupata katiba mpya, uku kila kundi likilia kwa upande wake, Msanii wa muziki wa Hip Hop toka mkoani Morogoro, Afande Sele Mfalme, ametoa lake la moyoni kupitia A/C yake ya Facebook.
Wkt
ukifika nasi tutatoa maoni yetu ingawa wasanii tumetengwa kwa maana ya
kukosa muwakilishi ktk bunge maalum la katiba lkn kwangu mimi kama
afande sele hii imenipa maana kuwa jk na ccm yake wanachezea akili,miili
na rasilimali za watz kitotototo tu huku wakijua hawana nia njema na ya
dhati ya kuwapa watz katiba waitakayo bali katiba ya ccm,ndio maana
mimi naliita bunge hili ni bunge maalum la kuiba si la katba na kwa jins
watz wa sasa walivyoamka na wanavyofuatilia ule ujinga unaoendelea pale
dom huenda mchakato huu ndio ukawa mwanzo wa machafuko ktk taifa na
mwisho wa jamhuri ya muungano wa tz kwa maana ya kufufuka kwa taifa huru
la tanganyika kama ilivyo kwa taifa huru la zanzibar kwa vile ktk
mazingira yeyote yale hakuna raia atakaekubali mapendekezo ya ccm badala
ya maoni ya wengi yaliyomo kwenye rasimu ya jaji
warioba,umimi,uchoyo,woga,ujinga,uroho wa madaraka wa ccm ndio
utakaoligawa taifa hili,mtu kijiweni anakwenda bungeni anatoa hotuba
kama'juha'tu ''ooh mimi nataka serekali mbili,serekali tatu ktk utawala
wangu haiwezekani labda mpaka niondoke madarakani''sasa kama ulikuwa
unajua na unataka iwe hivyo kwanini uliunda tume ya warioba na zaid
kwanini ulikubali mapendekezo ya tume hiyo ambayo ulikuwa ukikutana nayo
mara kwa mara na kupata maelezo yake ambayo ni maoni ya watz walio
wengi ikiwemo mfumo wa kutaka serekali tatu ambazo baadae unakwenda
kuzikataa mbele ya bunge uliloliunda na kuteua wajumbe wewe
mwenyewe?kama ulikuwa na maoni kwanini hukuyatoa mapema mbele ya tume
uliyoiteua mwenyewe na iliyogharimu muda na mabilion ya pesa za walipa
kod badala ya kwenda kuyatoa bungeni huoni kama ni uvunjaj mkuu wa
katiba na uhujumu mkubwa wa uchumi kwa kuwa hilo bunge lako la wez
uliloteua linafilisi nchi yenye matatizo lukuki ya kijamii huku
likiigiza badala ya kutimiza matakwa ya wengi?kila kitu kimekushinda ktk
utawala wako nchi imeyumba iko hoi ufisad ukitamalaki kila mahali
ukiongozwa na maswhiba wako sifa pekee tulitegemea sisi ndgzo ingekupa
heshima kidogo ni kuliachia taifa katiba mpya safi iliyotokana na
matakwa ya walio wengi lkn nalo tayari limekushinda kwa kuendekeza
uchama badala ya utaifa sasa utakumbukwa kwa lipi wewe ndg?bora Uzee
kuliko Uzembe,hizi ni salam zangu kwako''mjomba'',Ushaharibu,,,,,,,
0 MAONI YAKO:
Post a Comment