Mechi iliyokuwa ikisubiliwa kwa hamu kubwa ya watani wa Jadi Tanzania Yanga na Simba, imemalizika kwa timu hizo kwenda sare ya gori moja kwa moja. Simba ndiyo iliyokuwa ya kwanza kuliona lango la yanga kupitia kwa mfungaji wake Chanongo dk 75, baadaye Yanga wakasawazisha kupitia kwa Simon Msuva dk 86
SERIKALI YA DKT. SAMIA IMEENDELEA KUSIMAMIA MATUMIZI SALAMA YA MIONZI –
PROF. BUSAGALA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC), Profesa Lazaro
Busagala, akizungumza na Wahariri na Waandishi wakati wa kikao kazi cha
Tume ya ...
4 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment