Mechi iliyokuwa ikisubiliwa kwa hamu kubwa ya watani wa Jadi Tanzania Yanga na Simba, imemalizika kwa timu hizo kwenda sare ya gori moja kwa moja. Simba ndiyo iliyokuwa ya kwanza kuliona lango la yanga kupitia kwa mfungaji wake Chanongo dk 75, baadaye Yanga wakasawazisha kupitia kwa Simon Msuva dk 86
WAZIRI KOMBO APOKEA RASMI KOMBE LA USHINDI WA WANADIPLOMASIA DHIDI YA
WABUNGE KATIKA BONANZA LA CRDB
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.Dkt. Mahmoud
Thabit Kombo leo Julai 14, 2026 amekabidhiwa rasmi kombe kutoka kwa Naibu
Waz...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment