April 05, 2014

Image00001 
Kituo cha Watoto Yatima cha New Life Orphans Home kilichopo Kigogo leo April 05 wamepata michango mbalimbali toka kwa project yake ya Diva Giving For Charity ambayo inasimamiwa na Diva wa Ala za Roho ya Clouds Fm.
Image00002 
Huu ni mwaka wa tatu mfululizo kwa Diva kutoa misaada kwa vituo mbalimbali vya watoto yatima na mpaka sasa vituo walivyotoa msaada ni pamoja na Al-madina Children Home Tandale,New Life Home Orphans Home Kigogo na Makorora Hospitali ya Tanga.
Image00005 
Michango iliyotolewa leo ni pamoja na Vyakula,vifaa vya elimu kama madaftari pen,penseli na Milion 1 kutoka Diva’s Wild Events Company,Albert Msando ametoa Dolar 500 Cash na vifaa vya watu mbalimbali vilivyochangwa na wadau mbalimbali wa Clouds Fm ambao baadhi yao walijumuika kuonyesha uzalendo na  kusambaza upendo.
Hizi ni baadhi ya picha za kwenye utoaji wa michango hiyo.
Image00026










Image00013 

Image00014 

Image00009 

Image00007 



Image00004  

Image00006


 

Hapa Diva akiwa kambeba mtoto  Sauda mwenye matundu matatu katika moyo, anahitaji msaada wa kwenda nchini India kwa matibabu

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE