Leo Th 23 may 2014 ni siku ya kuzaliwa dada yetu mpendwa na mdau wa burudani DIDA FACION.
ubalozini.blogspot.com inaungna na Familia ya Dida katika siku hii muhimu kukutakia Maisha marefu yenye kheri na baraka tele. Mungu akupe kila hitajio la moyo wako.
LHRC yafuatilia kukamatwa kwa mwandishi wa habari Aloyce Nyanda
-
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimepokea taarifa za
kukamatwa kwa mwandishi...
3 hours ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment