
Lakini suala kubwa la kujiuliza ni iwapo waigizaji wa filamu hizi wanafaidika. , wakizungumza na BBC wasanii maarufu nchini hapa , Riyama Ali na Wastara Juma.
Waigizaji hawa walienda Uingereza kutengeneza filamu inayoitwa 'Ughaibuni.' chini ya udhamini na msaada mkubwa wa mdau mkubwa aliyopo UK Dida Facion
Kasim Kayira amezungumza na Wastara Juma,akianza kwa kumuuliza changamoto wanazokumbana nazo kama wasanii
BONYEZA LINK HII KUTAZAMA
http://youtu.be/AFM-c08yKgY
0 MAONI YAKO:
Post a Comment