MTOTO
Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne akidaiwa kuteswa na
mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki, huku akikosa uangalizi wa
karibu, chakula, tiba na huduma nyingine muhimu AFARIKI DUNIA katika
Hospitali ya Taifa MUHIMBILI usiku wa kuamkia leo majira ya saa saba,
tatizo ni Nimonia na homa ilipanda sana.
TUME YASHAURI ELIMU ZAIDI KWA WATANZANIA KUELEWA YANAWASIBU
-
TUME ya Rais ya Kuchunguza Vurugu za wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa
Oktoba 29, 2025 imeshauri mambo matatu ikiwemo kutoa elimu kwa Watanzania
kuz...
3 hours ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment