MTOTO
Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne akidaiwa kuteswa na
mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki, huku akikosa uangalizi wa
karibu, chakula, tiba na huduma nyingine muhimu AFARIKI DUNIA katika
Hospitali ya Taifa MUHIMBILI usiku wa kuamkia leo majira ya saa saba,
tatizo ni Nimonia na homa ilipanda sana.
SERIKALI KUSHIRIKIANA NA VYUO VIKUU KUIMARISHA UWAJIBIKAJI KATIKA
UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA UMMA
-
Na Mwandishi wetu, Dodoma
Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, kupitia Idara
ya Ufuatiliaji na Tathmini ya Utendaji wa Serikal...
2 hours ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment