June 16, 2014

Photo: Leo pale xxl at clouds fm msikose kwanzia saa saba

Dizaini Nah Reel alikuwa akimuimbisha Aika na kumuuliza mbona unachelewa chelewa..Baada ya kuoana sasa (ki mashairi) leo hii wametoka na wimbo wao unaozungumzia maisha baada ya ndoa. ambapo wawili wanakuwa wanapeana moyo katika maisha yao na hivyo wimbo huo kuitwa "Aiyola" wasikilize hapo chini

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE