Leo, amezaliwa mdau wa Media Tanzania, toka Moro Gairo anaitwa Willson Chigolo, tumekuwa nae siku zote katika harakati zetu hizi. KUPITIA www.ubalozini.blogspot.com Hatuna budi kukutakia maisha marefu, kheri nyingi na baraka tele, Mungu akujaalie na akupe kila hitajio la Nafsi yako. Tupo pamoja.
NAIBU WAZIRI LONDO ATEMBELEA OFISI ZA TIRDO, AFURAHISHWA NA UTENDAJI WA
SHIRIKA
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Deniss Londo, amesema kupitia Shirika
la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania...
5 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment