Uyu mshkaji aliwaacha watu hoi paler alipokuwa aki Rap Kiluguru
Husna Abdul (Dahuu) toka Leo Tena ya Clouds fm, ndiye aliyeliongoza jahazi ili akiwa na mfalme wa Rhymes Tanzania Afande Sele.
Tulitaka kujua ile desturi ya wafanya biashara wa Kiluguru eti ukikutana
naye njiani hawezi kukuuzia bidhaa yote mpaka afike Sokoni. Je kuna
ukweli?
Hapa mama kilaza alifunguka kuhusu habari hizo kwamba zamani ilikuwa hivyo hasa kutokana na imani kwamba ukiuza bidhaa njiani hutapata faida kubwa, kumbe kinyumechake,
Hapa tulikutana na wadau wa Fiesta wakaamua kupiga Picha ya pamoja, Afande Sele, Wilson Chigolo, Lilian Crispin na Husna Abdul Dahuu toka Clouds fm
Hapa ni Dahu na Frank Sanga wa Moro
0 MAONI YAKO:
Post a Comment