September 15, 2014


101fsttbr 
Tabora siku yao rasmi ya burudani ilikua ni September 14 ambapo kwenye uwanja wa Al Hassan Mwinyi walijikusanya aisee Tabora mmeandika tena records ya mahudhurio mengi uwanjani.
September 14 
86fsttbr
Tabora walipata nafasi ya kumuona Dudubaya ambaye alipanda kama kuwasalimia mashabiki wake kisha akakumbushia wimbo wake mmoja kila mmoja alifurahi kumuona na alishangiliwa sana Dudubaya.
Hizi nibaadhi ya picha mtu wangu ambazo unaweza kushare na washkaji waone walichokifanya Tabora,Nuh na Shilole baadae walipanda wakaperfoam pamoja ilikua poa sana 

 
Msanii mwingine anaekuja vyema kwenye anga ya muziki wa Bongofleva aitwaye Kadja ambaye anatamba na wimbo wake wa Maumivu niache akiimba pamoja na Linah.
Mkali wa Bongo Hip Hop Farid Kubanda a.k.a Fid Q akikamua vilivyo juu ya jukwaa na la Fiesta.…
 
Msanii mwingine anaekuja vyema kwenye anga ya muziki wa Bongofleva aitwaye Kadja ambaye anatamba na wimbo wake wa Maumivu niache akiimba pamoja na Linah.
 
Mkali wa Bongo Hip Hop Farid Kubanda a.k.a Fid Q akikamua vilivyo juu ya jukwaa na la Fiesta.
 
Msanii wa Bongofleva,Kadja akiimba wimbo wake wa Maumivu niache mbele ya maelfu ya wakazi wa Taborawaliofika kwenye tamasha la Fiesta usiku wa kuamkia leo.
 
Ilikuwa buruuudani ya kusambaza upendo wa kweli kwa wakazi wa Tabora ndani ya tamasha la Fiesta
 
Palikuwa hapatoshi usiku wa kuamkia leo ndani ya uwanja wa Al-Hassan Mwinyi mjini Tabora,ambapo tamasha la Fiesta lilirindima.
 
Wasanii chipukizi kutoka Tabora nao walionesha umahiri wao jukwaani
 
Sehemu ya umati mkubwa wa watu waliofika kulishuhudia tamasha la Fiesta lililofanyika usiku wa
kuamkia leo ndani ya uwanja wa Al-Hassan Mwinyi mjini Tabora. 

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE